Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, February 23, 2011

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU PESS WAITEMBELEA GYM YA TANZANED

Hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa wanafunzi wa chuo kikuu kutembelea gym za mazoezi ili nao waone jinsi wenzao wanavyoendesha gym na kuona pia mambo yale walosomea yanaenda vipi,na hii inaleta changamoto pindi wamalizapo chuo na kuajiriwa katika sehemu za mazoezi za watu binafsi au vyuo.



Katika picha inaonyesha wanafunzi wakiwa kwenye darasa la spinner.Mbele waliosimama kulia ni mkuu wa kitengo cha michezo na sayansi Dr.Maro kushoto ni mwalimu O.Swai mkuu wa msafara na mwalimu wa aerobics chuoni hapo.












Mazoezi ya tumbo





Mwalimu Fracis wa gym ya Tanzaned akiwaonyesha wanafunzi wa chuo kikuu namna ya kufanya mazoezi ya tumbo kwa kutumia mipira maalum








Hapa mwalimu Francis akimuelekeza mwanafunzi wa chuo kuu udsm mazoezi ya tumbo kwa kutumia mashine

No comments: