Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, March 17, 2011

BAADA YA MAZOEZI YA KUTWA YALIYOKUWA YAKIFANYIKA ILIFANYIKA STRECHING NA MWALIMU SWAI TOKA CHUO KIKUU MLIMANI DSM



Wana michezo wakifanya mazoezi ya stretching wakiwemo wafanyaka kazi wote na wanafunzi walishiriki pia





























Hapa ilikuwa pata shika katika kukimbiza kuku zozi hilo likisimamiwa na mwalimu Kihunzi toka udsm.




Mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa chuo kikuu huria VC. Tolly Bwette.akikabithi zawadi na vyeti mmoja wa washiriki kwenye viwannja vya michezo vya chuo huria huko Kibaha siku ya jumamosi na wanamichezo waalikwa kutoka Kenya pia walihudhuria

No comments: