Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, November 23, 2010

WAKILI NYANGE MDAU ANAEPENDA MAZOEZI

Mara nyingi watu wanaojishughulisha na sheria huwa hawana muda wa mazoezi, lakini wakili Nyange yeye hakosi mazoezi na anajua kuyafanya na kwa bidii.

Siku hii ya leo nachukua fursa hii kumzungumzia mdau wa mazoezi Wakili Nyange, amefanya mazoezi kwa miaka mingi na anajua faida ya mazoezi,pia amehakikisha familia yake nao wanafanya mazoezi.

Kwa kweli nampongeza sana na kumfagilia na namombea aendelee na bidii yake huwa an jina lake analolipenda wakati wa mazoezi na pia ni staili inaitwa ding dong huipenda sana ambayo mimi nili
buni.


Katika picha hapo chini advocate Nyange amevaa fulana nyekundu na bukta nyeusi anafya mazoezi ya ding dong step kulia nyuma.

No comments: