Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Sunday, November 7, 2010

WADAU WA MAZOEZI YA AEROBICS KATIKA HOTEL YA LAMADA

Mara nyigi mazoezi kama haya husaidia kuondoa matairi au mikunjo iliyopo pembeni mwa mbavu.

Hakikisha unafanya mazoezi hayo mara kwa mara husaidia kuondoa mikunjo ambayo imegeuka kuwa mafuta pembeni mwa mbavu kwa muda mfupi,ukizingatia dayati.

Katika picha hapo chini wadau wakifanya mazoezi ya (oblique) yaani kuondoa mafuta pembeni mwa mbavu.

No comments: