Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, September 23, 2010

MWALIMU FRANCIS KATIKA DARASA LA SPINNER

Mazoezi ya spinner yametokea kupendwa na wadau wengi wa mazoezi japo siyo siku nyingi kuanzia hapa bongo.
Mwalimu Francis ni mmoja wa waalimu anayefundisha mazoezi ya spinner katika gym ya Gymkhana club ya Dar es salaam




MWALIMU FRANCIS akiwa kwenye darasa lake la spinner (baiskeli za mazoezi)


















Wadau wa mazoezi wakifuatilia kwa makini master class O.Swai nae alikuwepo.

No comments: