Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, September 16, 2010

MAZOEZI YA VIUNGO NA SARAKASI GYMNASTIC

Watu wengi hufikiria vijana wanaofanya mchezo huu wa sarakasi huwa wanatumia mazingaumbwe, hapana ni kutokana na mazoezi ya kila siku ya viungo katikamaisha yako hii hukusaidia kuwa mwepesi na kuwa na balasi ya mwili wako.


KATIKA PICHA VIJANA WAKIFANYA VITU VYAO KUWABURUDISHA WATU.

No comments: