Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, June 2, 2010

SUPER FITNESS GYM NA MWALIMU OTHMAN




WANACHAMA WA SUPER GYM KATIKA MAZOEZI






Super Gym siyo jina geni kwa wakazi wa maeneo ya kariakoo iliyoko katika mtaa wa GoGo, Sikukuu/Mchikichini tukizingatia ni sehemu ya biashara.
Mwalimu Othman ni mtaalam aliyebobea katika fani hii ya mazoezi ya viungo kwa takriban miaka 20 iliyopita.

Yeye amesomea hii kazi yake huko Canada na kuhitimu stashahada ya juu na pia aliwahi kufaya kazi huku ulaya kwa miaka kadhaa na ndipo alipoamua kuja nyumbani Tanzania Dar es salaam kufungua sehemu ya mazoezi ya kujenga mwili.



Pia mwalimu Othman hutengeneza mashine zake yeye mwenyewe pindi ziharibikapo mambo haya yote ni mafanyikio aliyopata huko ulaya.




















HAPA PICHA ZINAONYESHA MWALIMU OTHMAN AKITENGENEZA MASHINE YA KUKIMBILIA






No comments: