Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, June 11, 2010

GENESIS HEALTH CLUB NA MAMA MZUANDA

GENESIS HEALHT CLUB NI CLABU YA MAZOEZI YA VIUNGO YENYE KUENDESHA MAZOEZI YA AEROBICS, SAUNA,STEAMING BATH, KARATE NA PIA SEHEMU YA MASSAGE

Katika picha hapo ni mama Mzuanda
ambaye ni mmiliki wa gym hiyo
akipokea wadau wake na kuwakaribi
sha. pindi wafikapo hapo kwenye mazoezi.





No comments: