Thursday, November 20, 2014
MWALIMU SHWAHIBU (ANDUNJE) ALIYEBOBEA KATIKA KUFUNDISHA MAZOEZI YA AEROBICS.
Bila shaka nikimzungumzia mwalimu Andunje kwa wakazi wale wa Dar es salaam sio jina geni hususan kwa wale wanaofanya mazoezi ya aerobics kwenye club mbalimbali hapa jijini.
Mwalimu Andunje alianza kufanyisha mazoezi katika ukumbi wa vijana pale mango garden na baadae alijiendeleza alipokuwa Kelken gym iliyopo chan'gombe na nyerere road.
Hapo alikutana na mkongwe wa mazoezi ya aerobic ambaye hivi sasa anafundisha chuo kikuu mlimani na kufuzu.
Mwalimu Shwahibu aliye maahiri katika mzoezi ya aerobics
na pia hutegemea sana kwa kumuingizia kipato.
Hapo akionyesha mazoezi ya kunyoosha viungo kwenye
gym ya UDSM.
Mwalimu Andunje akiwa kwenye darasa lake akionyesha
mazoezi na kufuatilia kwa makini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment