Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, November 20, 2014

MWALIMU SHWAHIBU (ANDUNJE) ALIYEBOBEA KATIKA KUFUNDISHA MAZOEZI YA AEROBICS.


Bila shaka nikimzungumzia mwalimu Andunje kwa wakazi wale wa Dar es salaam sio jina geni hususan kwa wale wanaofanya mazoezi ya aerobics kwenye club mbalimbali hapa jijini.
Mwalimu Andunje alianza kufanyisha mazoezi katika ukumbi wa vijana pale mango garden na baadae alijiendeleza alipokuwa  Kelken gym iliyopo chan'gombe na nyerere road.
Hapo alikutana na mkongwe wa mazoezi ya aerobic ambaye hivi sasa anafundisha  chuo kikuu mlimani na kufuzu.


                  Mwalimu Shwahibu  aliye maahiri  katika mzoezi ya aerobics
                  na pia hutegemea sana kwa kumuingizia kipato.

                        Hapo akionyesha mazoezi ya kunyoosha viungo kwenye
                        gym ya UDSM.


                             Mwalimu Andunje akiwa kwenye darasa lake akionyesha
                              mazoezi na kufuatilia kwa makini

 

No comments: