Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, November 21, 2014

AINA YA MAZOEZI YA KUONDOA MAFUTA NA KUJENGA MISULI YA TUMBO UKIWA NYUMBANI.

Mazoezi ya kuondoa  tumbo kama usemi unaotumika ni zoezi ambalo unatakiwa kuwa na moyo wa kufanya zoezi hilo na kupania kiukweli kwa kuwa na ari ikiwa inafuatiwa  na shauku kubwa ya kujenga misuli yake (six pax).
Yafuatayo ni baadhi ya mazoezi ambayo unashauriwa kuyafanya marakwa mara na kila siku katika picha.

Ikiwa kila zoezi unalofanya unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya mara mia sita kwa mpangilio utakao jipangia mwenyewe.



                                Mazoezi haya aina tatu ni namna unavyoanza na kumalizia
                                 unapeleka mikono kama unakata panga



                               Aina ya pili ya mazoezi  inayojulikana kama side cranch
                          ikionysha unavyoanza na kumalizia unafanya mara hamsini
                          bila ya kupumzika.





                                   Zoezi hili pia ni la tumbo iukitumia mpira maalum kwa
                          kuunyanyuka nao na kurudi chini kama picha zinavyoonyesha

No comments: