Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, November 27, 2014

MAMBO MUHIMU KWA ANAYEFANYA MAZOEZI YA KUJENGA MISULI(BODY BUILDING)


(Body building) Mjenga misuli ni muhimu sana awe na mwenzake wa kumsimamia wakati akiwa anafanya mazoezi(msaidizi) hii inasaidia kumlinda asije umia kwa uzito anaobeba kumshinda kunyanyua na kumrudia shingoni hii ni hatari inaweza kusababisha kupoteza maisha pao hapo.

Hii pia humsaidia yule mwana mazoezi kufanya mazoezi ya kunyanyua uzito mkubwa akitegemea kuwa na msaidizi nyuma yake na kumsaidia kunyanyu hadi kufikia lengo lake, na kumpa moyo mnyanyuaji uzito.











               Mazoezi ya boby building hutegemea sana uwe na mtu wa kukusaidia
                hii hapa ni namna unavyoanza.










                  Jinsi ya kumalizia kwa kunyanyua uzito huku kukiwa na mwangalizi












                     Hapa inabidi kusaidia wakati uonapo inamshinda  ili kumwezesha
                      mwana mazoezi mwenzako.




   


















               





















No comments: