Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, July 4, 2012

MAZOEZI NA LISHE BORA(DIETY)

Mara nyingi mtu ukiwa unafanya mazoezi huwa na lengo lako ,ama uwe una tatizo la uzito au unafanya kwa afya yako ili uwe na afya bora  ili kuepuka maradhi ya mara kwa mara.

Nikizungumzia mazoezi na lishe nina maana wakati unapofanya mazoezi yoyote yale hutokea kupata hamu ya kula baada ya mazoezi.

Sasa uachotakiwa wewe ni kujaribu kupunguza kiasi cha mlo unaokula hii itakusaidia kupunguza uzito ambao ulokithiri. Kwa kawaida ya binaadam anatakiwa kupata kalori 1500 kwa siku kutoka katika mlo wake wa siku, ndio maana unatakiwa kufanya mazoezi ili kile chakula unachokula kitumike vyema kwa muda muafaka.

Tafadhali kama una swali lolote au maoni  uliza kupitia email yangu omaryswai@gmail.com

No comments: