Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Sunday, July 22, 2012

MAZOEZI YA SARKET YANAVYOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO

Mazoezi ya surket training  ni mazoezi mchanganyiko ambayo hufanywa kwa kubadili zoezi kila baada ya dakika tano na kuhamia zoezi lingine, bila ya kupumzika kama vile ikionyesha kwenye picha hapo chini.
Mazoezi haya yanasaidia kupunguza uzito wako kwa kipindi kifupi ikiwa utazingatia mwalimu anavyoongoza ikiwa ni pamoja na kuzingatia chakula bora (diety)















Hapa ni  wadau wa mazoezi wakifanya mazoezi kwa
bidii kuendana na muda waliopangiwa.
















Bila kusahau umuhimu wa mazoezi ya tumbo ikiwa na
umuhimu wake wa kipekee.

No comments: