Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, June 20, 2012

TOFAUTI YA MAZOEZI YA AQUA AEROBICS NA KUOGELEA






Watu wengi wanashindwa kutofautisha  kati ya Aqua Aerobics na  kuogelea.
Kuna tofauti kubwa kati ya haya mazoezi mawili hata kwa kuangalia picha hapo,
kwa vile zoezi hilo hufanyika ukiwa kwenye maji.
Zoezi la aqua  unafanya kama vile zoezi la aerobics uwapo darasa la kawaida yaani
bila maji,lakini zoezi hili hukulinda kutokuumia magoti kwa urahisi.na pia mtu yeyote
anafanya hata kama hajui kuogelea,na pia umalizapo zoezi hilo ambalo linachukua
takriban ya dakika 40 tu utasikia misuli  na viungo vyako vya mwili vimepata
zoezi tosha

 Mazoezi ya kuogelea inabidi ujue namna ya kuelea kwenye maji na hii pia inahitaji
mafunzo maalum ili umudu kuogelea.Pia hilo ni zoezi la mwili ambalo linasaidia pia.






















Katika picha ya juu inaonyesha mazoezi ya Aqua aerobics darasa maalum
 katika bwawa la chuo kikuu (UDSM) N mwalimu Swai.



















Mazoezi ya kuogelea kwa kuelea juu ya maji.




Zoezi la kuogelea kama picha inavyoonyesha  hapo juu chuo kikuu (UDSM)

No comments: