Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, June 1, 2012

MAOEZI YA AQUA AEROBICS YAANZA CHUO KIKUU MLIMANI

 Mazoezi ya Aqua yakiwa yamefana sana katika bwawa la kuogelea la Chuo Kikuu ch Mlimani (UDSM).
Mazoezi haya hufanyika kila siku ya Jumatano katika bwawa hilo chini ya Mwalimu O.Swai.
 Zoezi hilo ni kwa mtu yeyote hata kama hajui kuogelea humudu kulifanya bila ya matatizo.Hivyo wadau wengine kutoka popote pale mnakaribishwa.


















 Mwalimu wa mazoezi ya Aerobics O.Swai akiwa na
wadau wa Aerobics katika bwawa la UDSM.
(aliyevaa nguo nyekundu akifundisha aqua aerobics)















Wadau wa mazoezi wakifuatilia kwa mkini zoezi hilo.
















Baada ya zoezi la kwenye maji sasa ni nje ya maji.















Wadau wakimalizia  mazoezi ya kunyoosha viungo
baada  ya  zoezi husika.

No comments: