Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, November 17, 2011

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA TUMBO KWA KUTUMIA MPIRA MAALUM.

Kwa kawida mazoezi ya kupunguza tumbo yako ya aina mbalimbali na staili nyingi hii yote ni kumsaidia mlengwa mwenye matatizo na kupungua kama sio kuondoka kabisa.
Mazoezi ya tumbo ni ya kufanya kwa muda mrefu na sio kwa msimu tu hivyo inatkiwa kuwa na mazoea ya kufanya mazoezi hayo mara kwa mara.
















Namna ya kuanza zoezi la tumbo kwa kutumia
mpira maalum wa zoezi hilo.
unafanya hilo zoezi mara 25x4 halafu unapumzika
kila baada ya seti moja yaani mara 25. kama picha
inaonyesha juu unavyoanza















Picha ya chini inaonyesha namna ya kumalizia
hilo zoezi la tumbo kwa kutumia mpira maalum

No comments: