Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, June 3, 2011

CHUO KIKUU CHA UDSM CHAFUNGULIWA GYM NA MKUU WA CHUO HICHO

Mkuu wa chuo kikuu cha mlimani Profesa Mkandala akiwa na anakata utepe wa gym ya mlimani huku mkuu wa shule kuu ya elimu profesa Bhalalusesa akiangalia kwa kuadhimisha miaka hamsini ya tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu hicho
















Katika picha Mwalimu Omar Swai akitoa maelezo
jinsi ya kufanya mazoezi kwenye mashine.















Wadau wa Aerobics siku ya ufunguzi.

No comments: