Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, May 11, 2011

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA CLEMSON CHA AMERIKA WAKIFANYA MAZOEZI YA AEROBICS KATIKA GYM YA UDSM.





Mwalimu Swai akitoa mazoezi ya chini akiwa na wanfunzi wa Chuo Kikuu cha Clemson cha Amerika.
Wanfunzi hao wamekuja kutembelea Chuo kikuu cha Mlimani Dar es salaam katika kitengo cha michezo PESS. kama picha zinavyoonyesha.


katika picha ya pamoja na mwalimu swai



No comments: