Hiyo sio kweli kabisa jinsi umri unavyokwenda ndio unatakiwa kufanya mazoezi kwa ajili ya afya yako.
MZEE ALHAJ JUMA AKIWA KATIKA MAZOEZI NI MZEE MWENYE UMRI WA MIAKA ISIYOPUNGUA 78 NA ANASEMA ANAPENDA MZOEZI.ANAWASIHI WAZEE WENZAKE WA KIGOMA KUFANYA MAZOEZI NA KUISHI KWA RAHA.




