Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, February 19, 2011

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU (PESS) WATEMBELEA GYM YA GENESSIS

Katika mafunzo ambayo wanayopata wanafunzi wa chuo kikuu Pess ni pia moja wapo ya ujasiriamali pindi watokapo hapo chuo ili waweze kumudu maisha yao wakiwa uraiani iwe ni kujiajiri au kuajiriwa katika soko la gym.
Pamoja na kuwa na gym ya mazoezi hapo chuoni pia hutembelea gym nyingine na kuona zinavyoendeshwa kwa maandalizi ya wao kuajiriwa wamalizapo mafunzo ya gym na aerobics



Katika picha ya pamoja Mwalimu Swai akiwa na wanafunzi wa chuo walipotembelea Genessis gym.








Katika picha za chini zinaonyesha Mwalimu Sas akitoa maelelozo kwa wanafunzi wa chuo kikuu mlimani PESS baadhi ya mashine na matumizi yake hapo katika gym ya Genessis

No comments: