Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, January 28, 2011

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA MLIMANI PESS NA MWALIMU SWAI

(PESS) PHYSICAL EDUCATION SPORTS AND SCIENCE ni kutengo cha elimu ya mazoezi ya viungo michezo na sayansi ni kitengo ambacho kinatoa waalimu wa michezo hapa Tanzania ikiwa ni pamoja na mafunzo ya aerobics na gym.


Katika picha ni wanafunzi wa mwaka wa tatu wakipata mafunzo ya ufundishaji wa mazoezi ya aerobics wakifundishwa na mwalimu Omar Swai.


No comments: