Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, January 15, 2011

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA KUJENGA MISULI

Watu wengi wanaokwenda gym kufanya mazoezi ya kujenga misuli kwa mara ya kwanza,hudhani kwamba inachukua muda mfupi kupata misuli mikubwa.
Siyo hivyo wanavyofikiria,misuli huchukua muda kujengeka na lazima uwe mvumilivu wa maumivu ya mwili na hata pindi ufanyapo mazoezi hayo.

Pia ujue namna ya kufanya kwa wakati husika pamoja na lishe bora,nikiwa na maana ule chakula cha kutosha japo miilo minne au mitano yenye virutubisho sahihi ya kujenga mwili pamoja na mazoezi ambayo unakuwa na patna wako hapo ndipo mambo ya kujenga mwili nakupendeza huwa.

KATIKA PICHA WADAU WA KUJENGA MISULI KWENYE GYM YA REDS ILIYOPO KINONDONI WAKISIMAMIANA HUO NI MFANO MZURI KWA WADAU WENGINE.

No comments: