Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, January 13, 2011

WAGENI KUTOKA NORWAY WAPAGAWA NA GYM YA CHUO KIKUU UDSM

Katika picha hapo chini inaonyesha mama wa kinorway profesa Birgit wa chuo kikuu cha Oslo akiwa amepagawa na mazoezi ya aerobics ya mwalimu Omar Swai chuo kikuu cha mlimani UDSM, na wadau wengine wa bongo.





No comments: