Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, May 24, 2019

KWA NINI UNAFANYA MAZOEZI KATIKA MAISHA YAKO YA KILA SIKU

Mara nyingi katika maisha ya binaadamu yeyote anatakiwa kufanya mazoezi japo mara tatu kwa wiki. Hii ikiwa ni hali ya kawaida kabisa  kwaajili ya kuondoa mafuta yalozidi mwilini mwako na pia hukusaidia kujenga kuta za misuli ya moyo wako kwa kutembea haraka au kukimbia pia hukusaidia kutumika sukari ya mwili wako kuepukana na maradhi yatokanayo kutofanya mazoezi.

Ni muhimu sana kufanya mazoezi katika maisha yako kuepukana na maradhi mbalimbali.

No comments: