Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, August 6, 2014

MAZOEZI NI KIUNGO MUHIMU KATIKA MAISHA YA KILA SIKU BILA SHAKA

Nimezungumzia kuhusu hilo kwa sababu unapopata mlo ni lazima utumike ipasavyo kwenye mwili wa kila binadamu,  hiyo nikiwa na maana baada ya kupata mlo  huo inachukua saa tatu tu chakula hicho kusagwa na kwenda kwenye sehemu husika ya mwili wa binaadamu.
Hivyo basi ni muhimu kuhakikisha wakati wa usiku unapata mlo mwepesi ambao hautakuathiri na kukuletea athari ya afya yako, pia jaribu kutembea kwa muda wa dakika 15 au 20 mwendo wa haraka kama huna muda wa kwenda gym au kama una baskeli ni vema uendeshe  kwa muda wa dakika 20.itakuwa umeondoa kaloriz ambazo zimezidi mwilini mwako.
Bila shaka inawezekana kufanya hivyo na kutetea afya yako isiharibike na mwili wako kuwa katika afya njema.
 

No comments: