Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, July 11, 2014

WANAFUNZI WAMALIZA MAFUNZO YAO YA AEROBIC DANCE UDSM KITENGO CHA PHYSICAL EDUCATION SPORTS SCIENCES


Kama kawaida kozi hii hufanyika semista ya ya pili kwa wanafunzi wa mwaka wa pili wa kitengo husika hapa Chuo Kikuu cha Mlimani
Pindi wamalizapo mafunzo haya huwa tayari kwa kufundisha aerobic dance, na somo hili huchukua mafunzo nadharia kwa jumla ya saa  30 na  kwa  vitendo darasani ni saa15.amabayo huchukua miezi mitatu.




                                  Wanafunzi wa mlimani wakiwa katika darasa Aerobic Dance
          




             Wanafunzi wa Pess wakiwa wanaanza mazoezi ya step kwa kupasha mwili  
                                      






       Wanafunzi wakiwa na hamu ya kujua kufanya aerobic step wakifurahia mafunzo hayo

No comments: