Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, June 24, 2013

MWALIMU WA AEROBICS ALFA SIMWANZA AMALIZA CHUO KIKUU UDSM NA KUANZA KUFUNDISHA


Mwalimu chipukizi katika fani ya aerobics Alfa Simwanza ambaye amemaliza mafunzo yake ya miaka mitatu akiwania cheti cha digirii katika ualimu wa michezo kutoka chuo kikuu cha mlimani(UDSM).
Akiwa ameshiriki katika michezo yote, isipokuwa yeye amejikita katika ufundishaji wa mazoezi ya Aerobics.


Katika picha mwalimu Alfa (bukta buluu) akiwa katika darasa lake kwenye gym ya UDSM




      Mwalimu A.Simwanza akifuatilia kwa makini wanafunzi wakifanya mazoezi





          Mwalimu Alfa akibadili mwelekeo wa mazoezi huku wadau wakufurahia

Friday, June 21, 2013

FAIDA YA MATUMIZI YA KUTUMIA KINYWAJI CHA KAHAWA


Watu wengi hufikiria kahawa ni kwa ajili ya wale watu ambao  hawahitaji kulala, huwa  ndio faida yake tu lakini kahawa ina faida nyigi.
Huwasaidia kukuchangamsha na kuamsha akili na kuondoa uchovu.
Husaidia msago wa chakula kwa urahisi zaidi
Husaidia kupanua mishipa ya damu
Husaidia misuli ya moyo kuwa madhubuti katika msukumo wa damu mwilini.
Husaidia kuondoa mafuta kwenye damu.
Hii  ikiwa ni baadhi ya faida za matumizi ya kahawa kwa binaadamu, na pia imefanyiwa majaribio na kuonekana inasaidia sana katika maisha ya mwanadamu kumfanya kuwa na afya bora na furaha.