Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, June 21, 2013

FAIDA YA MATUMIZI YA KUTUMIA KINYWAJI CHA KAHAWA


Watu wengi hufikiria kahawa ni kwa ajili ya wale watu ambao  hawahitaji kulala, huwa  ndio faida yake tu lakini kahawa ina faida nyigi.
Huwasaidia kukuchangamsha na kuamsha akili na kuondoa uchovu.
Husaidia msago wa chakula kwa urahisi zaidi
Husaidia kupanua mishipa ya damu
Husaidia misuli ya moyo kuwa madhubuti katika msukumo wa damu mwilini.
Husaidia kuondoa mafuta kwenye damu.
Hii  ikiwa ni baadhi ya faida za matumizi ya kahawa kwa binaadamu, na pia imefanyiwa majaribio na kuonekana inasaidia sana katika maisha ya mwanadamu kumfanya kuwa na afya bora na furaha.

No comments: