Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, June 24, 2013

MWALIMU WA AEROBICS ALFA SIMWANZA AMALIZA CHUO KIKUU UDSM NA KUANZA KUFUNDISHA


Mwalimu chipukizi katika fani ya aerobics Alfa Simwanza ambaye amemaliza mafunzo yake ya miaka mitatu akiwania cheti cha digirii katika ualimu wa michezo kutoka chuo kikuu cha mlimani(UDSM).
Akiwa ameshiriki katika michezo yote, isipokuwa yeye amejikita katika ufundishaji wa mazoezi ya Aerobics.


Katika picha mwalimu Alfa (bukta buluu) akiwa katika darasa lake kwenye gym ya UDSM




      Mwalimu A.Simwanza akifuatilia kwa makini wanafunzi wakifanya mazoezi





          Mwalimu Alfa akibadili mwelekeo wa mazoezi huku wadau wakufurahia

No comments: