Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, November 20, 2012

WAFANYA KAZI WA VETA(DSMRVTSC) WAFUNGUA CLUB YA MAZOEZI HAPO VETA KWA WAFANYAKAZI WOTE.


 Katika mazungumzo na wakuu wa hapo DSMRVTSC VETA walisema wameamua kuanzisha club yao ya mazoezi hii ni kutokana na kutokuwa na muda wa kufanya mazoezi siku za wiki na kuamua kufanya mazoezi angalau siku ya Jumamosi na jumapili hapo baadae.Kwa sasa wanafanya mazoezi kila Jumamosi asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa moja.






Wanamazoezi wa  Veta wakifanya mazoezi ya viungo kwenye  gym yao wakiwa na mwalimu  O.Swai



Hapa ni mkuu wa chuo hicho Samwel Ng'andu  akiongoza wafanyakazi wenzake katika  zoezi kila asubuhi ya Jumamosi alifungua rasmi.



                                      Mazoezi yakiwa yamepamba moto katika club hiyo Veta


                                 Mwalimu Swai akirekebisha wana mazoezi na kuwapa moyo












No comments: