Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, November 29, 2012

FAIDA YA KUFANYA MAZOEZI YA AEROBICS KWA WALE WENYE KIFUA CHA PUMU.

Leo nimeona umuhimu wa kuzungumzia kuhusu wale ambao wanasumbuliwa na ugonjwa wa kifua cha pumu.
Mazoezi ni muhimu sana haswa  kwa wale ambao wanasumbuliwa na kifua cha pumu, hii nimesemea kwa sababu kuna watu ambao husumbuliwa na pumu muda mrefu maana wengine huzaliwa nayo hata pia kwa wale wnaosumbuliwa na maradhi ya kisukari mazoezi  huwasaidia sana katika kuugua mara kwa mara.
Kwa uthibitisho wa utafiti wangu nimeona wengi waliofanya mazoezi hupata nafuu ya hali ya juu na kupunguza matumizi ya dawa za pumu kwa sababu mazoezi humsaidia kumuwezesha kupumua na kufanaya mapafu yake kufanaya kazi ipasavyo. Hivyo nawashauri wale wenye matatizo haya kujiunga  na club za mazoezi na kufanya mazoezi ya Aerobics yatasaidia kama kupunguza na kutibika kabisa.


                     Mazoezi  ya kutembea  au kukimbia kwa kutumia mashine ya treadmill


                  Mazoezi ya aerobics ambayo pia ni njia muhimu katika kukusaidia kupunguza
                       na kutibu ugonjwa wa kifua cha pumu.

No comments: