Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, December 14, 2011

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA UDSM PESS WANAPOFAIDIKA NA KOZI YA AEROBICS

Katika kozi ya Aerobics sasa inapata umashuhuri mkubwa katika Chuo Kikuu cha Mlimani UDSM katika kitengo cha Elimu ya Sayansi ya michezo.
Hii ikiwa ni kozi ya tatu tangu chuo kikuu cha mlimani kilipoanza kufundisha rasmi,imeonekana kila mwaka wanafunzi wanaongezeka tu hii ni kwa sababu ni kozi ambayo waalimu wa aerobics wanahitajika na mtu hukosi ajira ya ufundishaji iwe kwenye gym za watu binafsi au uwe umejiajiri mwenyewe.


















Katika picha anaonekana mwalimu mwanafunzi
Lulu akiongoza darasa la h/l aerobics PESS DSM.

















Mwalimu mwanafunzi Janifa akiongoza
mazoezi ya step wanafunzi wenzake
UDSM PESS

















Mwalimu wa waalimu Omar Swai (menye kofia
nyekundu)
akiwa katika pozi ya picha na wanafunzi wanao-
somea kozi ya aerobicsPess Udsm.

No comments: