Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, March 18, 2016

MWANA MAZOEZI WA SIKU NYINGI LUKUMAI AKIWA ANAFANYA MAZOEZI YA ROWING

Mkongwe wa mazoezi  ya aerobics mzee Lukumai ni mwana mazoezi aliyebobea katika mazoezi, japo umri umeenda lakini hakosi kufanya mazoezi na pia amekuwa ni mtu mwenye malengo katika kufanya mazoezi.

Hivyo tujue mazoezi hayana uzee wala kukata  tamaa. ufanyapo mazoezi ndipo unajiwekezea afya yako ya uzeeni kwa kutougua mara kwa mara na kuonekana kijana kila siku na mchangamfu.


                                   Mwana mazoezi Lukumai akifanya zoezi la rowing mashine

No comments: