Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, January 26, 2016

MAZOEZI YA KUPUNGUZA TUMBO KWA KUTUMIA AINA TOFAUTI ZA MASHINE



 Mara nyingi wakati wa mazoezi jaribu kubadili zoezi husika kwa matokeo chanya,hapa chini ni mazoezi ya tumbo kwa kutumia mashine.

Aina ya mazoezi haya ufanye mara mbili kwa wiki kupata matokeo mazuri


                                                Mazoezi  ya tumbo kwa kutumia mashine ya
kebo namna ya kuanza na kumaliza



                                           Picha hii ikionyesha namna ya kuanza na kumalizia
                                           zoezi lenyewe kwa kutumia mashine aina ya farasi.

























No comments: