Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Sunday, November 8, 2015

NAMNA YA KUDHIBITI UZITO BAADA YA KUFIKIA MALENGO YA KUPUNGUZA UZITO ULOKITHIRI


Mara nyingi  mwana mazoezi hujisahau pindi akifikia lengo lake la kupungua uzito katika kudhibiti chakula anachokula.

Katika kusema hivyo ni pamoja na kuepuka kula mafuta kwa kiwango kikubwa, kuepuka kula vyakula  bila kuzingatia muda wa kupata mlo.

Jambo la muhimu ni kukumbuka kula chakula chepesi nyakati za usiku kwa kuepuka kuongezeka uzito  kunywa maji ya kutosha na kupata muda wa kulala usiopungua masaa nane. 

No comments: