Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, August 31, 2015

MASHINDANO YA WATUNISHA MISULI (BODY BUILDER) THE MOST MUSCULER MAN 2015


Mashindano yliyofana sana ambayo yalikuwa na washiriki kutoka Tanzania Bara na Visiwani  Zanzibar.

Hii ikiwa ni mara ya pili kufanyika  Dar es salaam na mwasisi Mohamed Ally ambaye ni mkurugenzi wa Tanzaned  Fitness iliyoko Gymkhana.

                     

                            Mkuu wa stegi Omar swai akiwa na Mr.India 
                            ambaye alialikwa kama mgeni katika kutunisha


Wanamisuli wakiwa katika mshindano ya kuonyesha
misuli ya tumbo kama picha inavyoonyesha




 

 
                         
 
 
 
 

 
                                Wshiriki  wakiwa wanasubiri kuingia katika gwee yao



 Mukurugenzi wa Tanzaned akiwa na mkuu wa wilaya ya
 Kinondoni wakimkabidhi zawadi ya cheki ya sh. 1500,000 
mshindi Omary aliyetokea mkoa wa Mbeya

 
 
 

No comments: