Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Sunday, May 17, 2015

MWANA MAZOEZI MKONGWE FRANCIS MSANGI AMBAYE AMEFANIKIWA SANA KATIKA KUFANYA MAZOEZI.


Mara  nyingi ukizungumzia mazoezi lazima umkute mwana mazoezi mkongwe yupo na sio kwa mazoezi ya ndani  yani gym, hata kushiriki katika mshindano ya kukimbia marathon.

Huyu ni Mwanasheria anayejitegemea  mwana mazoezi Farancis  Msangi na pia ni mpenzi wa  gym ya UDSM.

Akizungumzia mikasa iliyomkuta  alikuwa anasumbuliwa na kisukari lakini tangu aanze mazoezi miaka miwili iliyopita amepona kabisa yuko poa.


                                    Mwana mazoezi  Francis Msangi akifanya moja ya 

                                      mzoezi ya tumbo


   
           Franscis akiwa anafanya zoezi kwenye mashine ya 

cross training.

No comments: