Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, April 17, 2014

WANAFUNZI WAALIMU WA AEROBIC DANCE WAANZA KOZI YA WAALIMU WA AEROBICS CHUO KIKUU MLIMANI

Chuo kikuu cha Mlimani ambacho hutoa mafunzo kwa waalimu wa mazoezi ya viungo chini ya idara ya Elimu Kuu kitengo cha michezo na sayansi (Physical Education Sport Sciences)
kwa wanafunzi ambao wamechagua kozi hiyo ya Aerobics instructor ambayo ikiwa ni mojawapo ya kozi zinazotolewa UDSM.

 
 
 
 
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mlimani ambao wanachukua kozi ya
Aerobics dance wakiwa na waalimu wao.


No comments: