Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, October 4, 2013

MWANA MAZOEZI MHADHIRI WA CHUO KIKUU MLIMANI AWA MFANO KWA WENZAKE

Katika maisha ya siku hizi ni nadra  sana kukuta mhadhiri wa chuo kikuu kupenda mazoezi na kuhudhuria mara tano kwa wiki bila kukosa.
Leo hii nampongeza sana Dr. Ngoma ambaye yuko na umri lakini amekuwa hodari sana katika kufanya mazoezi akiwa yeye na mke wake hata watoto wake wanahuduria mazoezi.
Hii ikimaanisha kwamba mazoezi ni kwa kila mtu kutojali umri au jinsia.



                                                                                 
                         Dr.Ngoma akiwa katika mazoezi ya step aerobics katika gym ya UDSM
                          (aiyevaa tishet nyekundu hapo mbele kulia)


                        Akiwa katika umaahiri wake wa kupanda step bila ya kukosea Dr.Ngoma


                       Hakuna staili inayompita Dr.Ngoma  kutokana na uelewa wake wa mazoezi

No comments: