Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, February 7, 2013

AINA MBALI MBALI YA MAZEOZI YA VIUNGO(AEROBICS)




Katika kufanya mazoezi ya viungo unaweza pia kufanya mazoezi  kwa kucheza utakavyo ili mradi unaendana na midundo.
Hivi sasa waalimu wa mazoezi haya ya viungo wamegundua namna ya kuwavutia wadau wa mazoezi haya kwa kuwapa mtindo na aina ya muziki







                                             Hapa ni namna  ya kuanza zoezi la kick box






                                         Namna ya kutupa ngumi pamoja kufuatilia mdundo






                                     Jinsi  ya kutumia mateke au kutumia goti uku ukienda na muziki









Mwalimu  Swai akitoa mafunzo namnkukunja na kutupa ngumi



No comments: