Kwa kaweli ni jambo la kutia moyo kwa wafanyakazi wa VETA kuanzisha club yao ya mazoezi
japo mara moja kwa wiki ambapo hukutana na kufanya joging wakimalizia na mazoezi ya viungo.
Mwaka huu wa 2013 wamepania zaidi kufanya mazoezi kwa ajili ya afya zao bili kujali nyadhifa zao.
Hapa ni pamoja na mkuu wa chuo hicho akiwa mastari wa mbele.
Wafanyakazi wa veta wakiwa wanafurahia mazoezi hapo chuoni
No comments:
Post a Comment