Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, September 3, 2012

MAZOEZI YA KUPUNGUZA UZITO KWA KUTUMIA SPIN BIKE

Mazoezi ya spin bike yamekuwa na msisimko mkubwa sana hapa Dar es salaam, imekuwa hivyo kutokana na kuwa na wapenzi wengi wa mazoezi hayoambayo yanasaidia sana katika kupunguza uzito kwa muda mfupi na kukuweka kuwa na pumzi na kuwa na afya bora.
Mazoezi hayo yametokea kuwa na umaarufu lakini kukiwa na waalimu wachache sana ambao wanafundisha zoezi hilo.
Hivyo hima waalimu wajitokeze katika kujifunza namna yakuendesha zoezi hilo ambalo linaongozwa kwa kutumia muziki maalum kwa kweli ni burudani tosha.

















Katika picha hapo juu ni wadau wa mazoezi ya spin bike.
















Hapa ni wadau wa mazoezi ya spin bike waliobobea katika zoezi

















Amakweli zoezi la spin bike limetokea kupendwa sana hapa Bongo

No comments: