Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, April 4, 2011

KUTANA NA MR. ALY MAJID MDAU WA SIKU NYINGI KATIKA MAZOEZI

Mara nyingi watu hufikiria kufanya mazoezi ni lazima ukonde hapana hizo ni fikira potefu.
Mazoezi ni kwa ajili ya kujikinga na maradhi ya mara kwa mara na kujisikia mchangamfu siku zote.
Hayo yalikuwa ni maoni ya mzee Ally ambaye yeye hapitwi na mazoezi ya mwili.





Katika picha mzee Ally akiwa katika moja ya mashine akifanya mazoezi yake

No comments: