Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, December 13, 2012

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA KUJENGA MABEGA (SHOULDER PRESS)

Picha ya kwanza inaonyesha namna ya kuanza zoezi hilo la shoulder


                                 Hatua ya pili unavyonyanyua uzito kwa kujenga misuli ya mabega
                         



 Hapa  ndipo unapofika  hatua ya mwisho ya kunyanyua uzito huku umeketi.





Mazoezi haya mara nyingi huwa ni magumu na yenye maumivu pindi umalizapo au wakati unapofanya ,hata wakati mwingine unaweza kukata tamaa kuyafanya lakini mtu ukitaka kujenga hiyo misuli uwe na moyo wakufanya na kurudia huku ukiongeza uzito.Pia uwe unafanya seti nyingi zaidi hii itakusaidia kujenga misuli yako na kukua kwa haraka zaidi.yaani unafanya seti tatu mara 12-15 kwa kuanza na uzito mdogo halafu unaongeza kwenye seti ya tano na ya sita kwa kufanya mara 6-8 halafu unaongeza tena uzito na kufanya mara 4 kwa seti mbili. Kwa maelekezo haya utaweza kujenga shoulder zako upendavyo.





































No comments: