Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, April 17, 2014

WANAFUNZI WAALIMU WA AEROBIC DANCE WAANZA KOZI YA WAALIMU WA AEROBICS CHUO KIKUU MLIMANI

Chuo kikuu cha Mlimani ambacho hutoa mafunzo kwa waalimu wa mazoezi ya viungo chini ya idara ya Elimu Kuu kitengo cha michezo na sayansi (Physical Education Sport Sciences)
kwa wanafunzi ambao wamechagua kozi hiyo ya Aerobics instructor ambayo ikiwa ni mojawapo ya kozi zinazotolewa UDSM.

 
 
 
 
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mlimani ambao wanachukua kozi ya
Aerobics dance wakiwa na waalimu wao.


Wednesday, April 2, 2014

MAFUTA YATOKANAYO NA MIZIZI,MAUA NA MATUNDA YANAVYOSAIDIA KUONDOA TUMBO KWA KUPAKAA.

 
                                         


                                                 SLIM & SASSY Essential Oil Suplment

Mara nyingi watu hufanya mazoezi na kupungua,lakini huchukua muda mrefu kupunguza mafuta ambayo yamezidi  mwilini hata baada ya muda fulani ukiacha kufanya mazoezi yale mafuta hurejea kwa nguvu zaidi na kuongezeka mara dufu.Lakini kwa sasa kuna suluhisho la tatizo kama hilo limepatikana hii ikiwa ni aina ya mafuta ya Slim Sassy  ambayo unapakaa zile sehemu korofi tu na kufanya mazoezi yako kama kawaida na kupunguaza mafuta kama vile tumbo mikono na kadhalika .
Mafuta haya hayana madhara ya aina yoyote kwa vile imetokana na mimea.
mafuta haya yaligunduliwa na mtaalam Daktari David Hill kutoka Amerika na ambaye pia yeye ni mwenyekiti wa hiyo kampuni ya doTERRA.Kuna mafuta yanayotibu maradhi mbalimbali pia ikiwemo pumu,kisukari mumivu yasiyoisha ya mwilli na kadhalika.
ukita kufanya oda na maelezo wasiliana kwenye email omarysway@gmail.com


Aina ya mafuta ya Slim Sassy ambayo husaidia kuondoa mafuta kwa kupakaa