Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, April 25, 2012

WADAU WA MAZOEZI WAPAGAWA NA MAZOEZI YA TAE BO GYM YA UDSM

                                              
Wadau wa mazoezi yaviungo wakiwa katika mazoezi ya Tae Bo mazoezi ambayo yametokea kupendwa sana na yenye matokeo ya haraka katika mwili. Mazoezi  ya Tae Bo hukufanya uwe na nguvu na pumzi ya kutosha hata katika kukabiliana tatizo la aina yoyote ile.                                           






WADAU WA MAZOEZI WAKIWA KWENYE
DARASA LA TAE BO LIKIONGOZWA NA
MWALIMU OMAR SWAI  UDSM











































Friday, April 20, 2012

FAIDA YA KUFANYA MAZOEZI YA AEROBICS


Faida ambazo unapata ukifanya mazoeziya Aerobics mara tatu hadi tano kwawiki ni:
-Kuonngeza uwezo wa kupumua kwa ufasaha na uhakika.
-Kuuweka moyo wako madhubuti na uhakika katika msukumo wa damu mwilini.
-Kupunguza mapigo ya moyo ambayo siyo ya kawaida.
-Kuongeza uwezo wa kusukuma damu mwilini na kuchuja mafuta yaliyomo kwenye damu kwa uhakika zaidi.
-Kusaidia kupunguza mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
-Kusaidia kupunguza uzito ulokithiri.
-Kuongeza mtiririko w hewa ya oksijen kwenye damu.
-Kusaidia mwili katika kulainisha misuli ya mwili.
-Kusaidia kujikinga na maradhi ya mara kwa mara na kuongeza seli nyekundu za mwili.
















Wadau wa aerobics wakifanya mazoezi kwa
ajili ya afya njema.

Wednesday, April 11, 2012

ZOEZI YA KUONDOA TUMBO KWA KUTUMIA MASHINE IITWAYO (TOTAL MOTION MACHINE)

Mdau wa mazoezi Elasi Njenga ambaye amepata amepata mafanyikio ya mtokeo mazuri kwenye kufanya mazoezi kwa bidii na kupunguza kilo nne kwa mwezi moja tangu alipoanza mazoezi.
Kwa wale wanaomjua wameona mafanikio makubwa na hata mwili wake kwa sasa unapendeza na kujisikia raha na afya, ikiwa pamoja na mazoezi ya aerobics ndio huleta mafanyikio ya haraka.















Mdau wa mazoezi Elias akiwa kwenye moja ya
mashine ambayo husaidia kuondoa tumbo na
kujenga misuli ya mwili ili kuondoa mafuta yale
yasiyohitajika .
Picha inaonyesha namna ya kuanza zoezi hilo.
















Hapa ni namna ya kumalizia zoezi hilo.















Hapa mdau Elias akimalizia zoezi hilo picha hiyo
ikionyesha upande wa nyuma.

Wednesday, April 4, 2012

UMUHIMU WA KUPASHA MWILI JOTO KABLA YA KUANZA ZOEZI(warm up) NA KUNYOOSHA BAADA YA ZOEZI(stretching)

Umuhimu wa kupasha moto misili kabla ya kuanza mazoezi kwa sababu ya kuutayarisha mwili kwa zoezi unalotaka kufanya.
Faida yake ni kuepuka maumivu ya misuli yasiyokwisha baada ya mazoezi.Hivyo ni muhimu sana kufanya mazezi kwa kupasha mwili joto(warm up) kwa kutumia baiskeli za mazoezi ukiwa gym
Pia kuna umuhimu wa kufanya azoezi yakunyoosha mwili baada ya mazoez(stretching), kwa ajili ya kuondoa maumivu na uchovu kwenye misuli.


















Hapa ni dada Nailia UDOM akianza mazoezi kwa
kupasha joto mwili kwa kuendelea na zoezi.






















Mama kidogo akipasha moto misuli
kwenye mashine aina ya crosse training
yeye ni hair dresser anapenda mazoezi.






















Mazoezi ya kunyoosha misuli baada
ya zoezi.





















Abigal akimalizia zoezi kwa kufanya
zoezi kunyoosha mwili baada ya zoezi
(stretching)