Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, July 19, 2011

MAZOEZI YA KUFANYA KWENYE MAJI (AQUA AEROBICS)

Mazoezi ya aqua aerobics hayana tofauti kubwa na mazoezi ya aerobics ambayo unafanyia pasipo maji.
Tofauti ni kwamba aqua nimazoezi yenye usalama zaidi katika viungo kama ankal kuachia na kukufanya kujisikia huna msindilio wa viungo.







Mazoezi ya aqua aerobics huwa nimazuri na salama hapa wadau wakifuatilia kwa makini mwalimu swai akitoa maelekezo.















wadau wa mazoezi ya viungo wakianza kufuatiliana wakiwa wanafurahia

Monday, July 4, 2011

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA TUMBO NA MAZOEZI YA SEHEMU NYINGINE KATIKA MWILI NA KUPATA MATOKEO MAZURI.

Mazoezi kama haya ya sehemu ya chini ikiwa ni kama tumbo na mapaja huwa yanasaidia sana kupunguza kama utarudia kama seti nne hadi tano kwa hesabu ya kumi(4x10) kwa matokeo ya haraka ni kufanya haya mazoezi mfulululizo.







KATIKA PICHA NIMAZOEZI MBALIMBALI YA MWILI.