Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, June 13, 2011

NAMNA MAZOEZI YANAYOSAIDIA KATIKA AFYA YA KILA BINADAMU



Katika maisha ya kila siku kila binaadamu anakula na hiyo ndiyo kawaida ya mzunguko wa maisha ya kila siku.

Je tunakumbuka kufanya mazoezi ili kuwa na afya bora, jibu linaweza kuwa ndio au hapana hii na kutokana na hulka ya maisha ya mtu ya kila siku.

Kwa kuwa tunanakula kila siku tunahitaji kukitumia chakula ulichokula kwa kufanya mazoezi ili kuepuka maradhi kama ya moyo, kisukari na kuwa na uzito ulokithiri, huna budi kufanya mazoezi katika maisha yako bila kujali umri na jinsia.

Friday, June 3, 2011

CHUO KIKUU CHA UDSM CHAFUNGULIWA GYM NA MKUU WA CHUO HICHO

Mkuu wa chuo kikuu cha mlimani Profesa Mkandala akiwa na anakata utepe wa gym ya mlimani huku mkuu wa shule kuu ya elimu profesa Bhalalusesa akiangalia kwa kuadhimisha miaka hamsini ya tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu hicho
















Katika picha Mwalimu Omar Swai akitoa maelezo
jinsi ya kufanya mazoezi kwenye mashine.















Wadau wa Aerobics siku ya ufunguzi.